![]() |
Baadhi ya Wateja wa
Kampuni ya Simu Ya Tigo wakiwa katika foleni kwa ajili ya kuhakiki simu zao
zoezi linaloendelea kwa ushirikiano baina ya makampuni ya simu na TCRA –CCC leo
jijini Dar es Salaam.
|
![]() |
Baadhi
ya watoa huduma wa Tigo wakitoa huduma kwa wateja wao wakati wa kampeni ya
kuhakiki simu kama ni Bandia au Orijino leo jijini Dar es Slaam.
|
![]() |
Meneja
Mauzo wa 4G kutoka Tigo Anthony Assenga akisikiliza maoni ya wateja
waliotembelea banda la tigo wakati wa kampeni ya kuhakiki simu kama ni Bandi au
Orijino leo jijini Dar es Slaam.
|
![]() |
Watoa huduma wa
Baraza la Ushauri la Watumiaji wa Huduma za Mawasiliano Tanzania (TCRA – CCC)
wakitoa huduma kwa wateja wakati wa kampeni ya kuhakiki simu leo jijini Dar es
Salaam.
|
Picha na: Frank
Shija
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni