Kaimu Mkuu wa Kitengo cha
Mawasiliano Serikalini Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Bibi.
Zawadi Msalla( katika) akizungumza na waandishi wa Habari (hawapo pichani) wadau
kutoa maoni ili kuboresha Sera ya Michezo leo jijini Dar es Salaam.Kaimu
Mkurugenzi wa Maendeleo ya Michezo Bw. Alex Makoye Nkenyenge na kushoto ni
Afisa Uchumi Mwandamizi wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Bw.
Richard Kundi.
|
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni