Waziri wa Habari,
Vijana, Utamaduni na Michezo Mhe. Dkt. Fenella Mukangara (MB) na wanachama wa Chama
cha Madaktari wa Kinywa na Meno Tanzania (TDA) wakati wa hafla ya uzinduzi wa
Wiki ya Afya ya Kinywa na Meno iliyofanyika katika viwanja vya Salender Bridge
Club jana jijini Dar es Salaam. Uzinduzi huo uliambatana na matembezi ya hiari
yalioyoanzia katika viwanja hivyo na kupitia Barabara ya Diomond Jubilee kabla
ya kurudi uwanjani hapo kupitia barabara ya AlhasanMwinyi na Kauli mbiu ya wiki
ya Afya ya Kinywa ni “Tabasamu la Maisha” Katikati ni Rais wa Chama Cha
Madaktari wa Kinywa na Meno Tanzania (TDA) Dkt. Lorna Carneiro na wa mwisho
kulia ni Rais Mteule wa Chama hicho Dkt. Ambege Mwakatobe.
|
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni