Baadhi
ya wanahabari wakimsikiliza Katibu Mtendaji
wa Baraza la Michezo la Taifa Bw. Henry Riaya hayupo pichani akizungumza
na wanahabari hawapo pichani katika hafla ya kusaini Waraka wa Brighton Declaration kuhusiana na usawa wa
kijinsia katika michezo.Hafla hiyo imefanyika jijini Dar es Salaam leo.
Picha
zote na Benjamin Sawe -WHVUM
|
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni