|
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mhe. Majaliwa Kassimu Majaliwa (katikati) akiwa katika picha ya pamoja
na viongozi wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo na wasanii
walioshinda Tuzo wakati wa hafla ya kumkabidhi Mhe Waziri Mkuu Tuzo za Filamu
za Africa Magic Viewers Choice kutoka kwa wasanii Single Mtambalike (Richie) na
Elizabeth Michael(Lulu) leojijini Dar es Salaam. Kutoka kushoto ni Rais wa
Shirikisho la vyama vya Filamu Tanzania (TAFFA) Simon Mwakifamba, Profesa
Elisante Ole Gabriel, Single Mtambalike, Elizabeth Michael,Naibu Waziri Mhe.
Annastazia James Wambura na Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu Tanzania.
|
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni