![]() |
Katibu Tawala wa Mkoa wa Tabora Bibi. Kudra
Mwinyimvua (kushoto) akipeana mkono na Meneja
wa NMB Tawi la Mihayo mkoani Tabora Bw. Festo Mashayo aliyekadidhi baada ya
kupokea msaada wa T-Shirt na leo mkoani Tabora. NMB wamekabidhi msaada wa T-Shirt
na kofia 100 zenye thamani ya shilingi milioni 25 kwa ajili ya Maadhimisho ya
Wiki ya Vijana na Kilele cha Mbio za Mwenge ambayo Kitaifa yanafanyika mkoani
hapa. Katikati ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari Vijana, Utamaduni na Michezo
Bibi. Sihaba Nkinga, Meneja Uhusiano wa NMB Kanda ya Magharibi Bw. Madaha Peter
|
Jumatano, 8 Oktoba 2014
NMB yatoa msaada kwa ajili ya Wikiya Vijana na Kilele cha Mbio za Mwenge mkoani Tabora
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni